top of page

MADA ZA KISWAHILI - KIDATO CHA PILI

​

MADA 1: Uundaji Wa Maneno

 

  1. Kutumia Uambishaji

    • Bainisha mofimu katika maneno

    • Bainisha dhima za mofimu

  2. Kutumia Mnyumbuliko

    • Elezea mazingira yanayosababisha mahitaji ya maneno mapya

    • Fafanua dhima ya uambishaji na mnyambulikoa wa maneno

    • Unda maneno mbalimbali kwa kutumia mnyambuliko

    • Tumia maneno ya mnyambuliko katika miktadha mablimbali

 

MADA 2: Matumizi Ya Lugha Katika Miktadha Mbalimbali

 

  1. Rejesta

    • Wasiliana kwa kutumia rejesta

    • Elezea dhima za rejesta

  2. Misimu

    • Wasiliana kwa kutumia misimu

  3. Lugha ya Kimazungumzo na ya Kimaandishi

    • Bainisha sifa ya lugha ya kimazungumzo

    • Elezea dhima ya lugha ya kimazungumzo na ya kimaandishi

    • Tumia lugha ya kimazungumzo na ya kimaandishi katika miktadha sahihi

  4. Matamshi na Lafudhi ya Kiswahili

    • Elezea lafudhi mbalimbali za Kiswahili

  5. Utata katika Mawasiliano

    • Elezea Sababu za Utata

 

MADA 3: Uhakiki Wa Kazi Za Fasihi Simulizi

 

  1. Uhakiki wa Ushairi

    • Elezea vipengele vya fani na maudhui katika kuhakiki ushairi

  2. Uhakiki wa Maigizo

    • Elezea vipengele vya fani na maudhui katika kuhakiki maigizo

 

MADA 4: Uhifadhi Wa Kazi Za Fasihi Simulizi

 

  1. Njia za kuhifadhi Fasihi Simulizi

    • Bainisha njia za kuhifadhi fasihi simulizi

    • Elezea ubora na udhaifu wa kila njia ya kuhifadhi kazi za fasihi simulizi

  2. Umuhimu wa kuhifadhi kazi za Fasihi Simulizi

    • Elezea faida ya kuhifadhi fasihi simulizi

 

MADA 5: Utungaji Wa Kazi Za Kifasihi

 

  1. Mashairi

    • Fafanua kanuni za utungaji wa mashairi

    • Igiza ngonjera

  2. Maigizo

    • Elezea kanuni za utungaji wa maigizo

 

MADA 6: Uandishi

 

  1. Insha za Hoja

    • Elezea muundo wa insha za hoja

  2. Barua Rasmi

    • Elezea dhima ya barua rasmi

    • Elezea muundo wa barua rasmi

  3. Simu

    • Elezea dhima ya simu ya maandishi

    • Andika simu za maandishi kwa kuzingatia muundo na taratibu za uandishi

  4. Kadi za Mialiko

    • Fafanua muundo wa kadi ya mialiko

  5. Uandishi wa Dayalojia

    • Elezea dhana ya dayolojia

 

MADA 7: Usimulizi

 

  1. Usimuliaji wa Matukio

    • Fafanua njia za usimulizi wa matukio

 

MADA 8: Ufahamu

 

  1. Ufahamu wa Kusikiliza

    • Jibu maswali ya ufahamu kutokana na habari uliyoisikiliza

    • Fupisha kwa mdomo habari uliyoisikiliza

  2. Ufahamu wa Kusoma

    • Soma kwa sauti kwa kuzingatia lafudhi ya kiswahili

    • Jibu maswali kutokana na habari uliyoisoma

    • Fupisha habari uliyoisoma

  3. Kusoma kwa Burudani

    • Mambo ya kuzingatia katika usomaji kwa burudani

  4. Matumizi ya Kamusi

    • Elezea jinsi ya kutumia kamusi

bottom of page